Wednesday, September 18, 2013

PICHA MBALIMBALI KATIKA MAAZIMISHO YA SIKU KUU YA MARA (MARA DAY)

Maelezo yakitolewa katika banda la chuo cha Utalii cha Serengeti -SETCO

Muonekano wa mabanda upande wa kusini mwa uwanja wa Sokoine.

Timu ya wafanya tadhiminni ikipata maelezo toka kwenye banda la Solar Planet ya Serengeti

Timu ya tadhimini ikiwa katika banda la Halimashauri ya manispaa ya Musoma.

Ndani ya Banda la Wizara ya Maji, zinaonekana mashine mbalimbali zinazotumika katika utafiti wa maji na uchimbaji wa visima......

Banda la H/M ya (W) Serengeti kama linavyoonekana, waliondani na mafaili ni timu ya wafanya tadhimini wakipokea maelezo toka kwa washiriki waliokuwepo bandani.

Banda la H/M ya (W) Tarime, wakionyesha kilimo cha kisasa cha migomba na kahawa na vitu mbalimbali vinavyoendana na Uhifadhi wa mazingira.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Viofrank (Frank) mwenye T-shirt ya mistari akitoa akifafanua jambo mbele ya timu ya wafanya tadhimini walipowasili katika banda la kampuni hiyo


Banda la chuo cha utalii Serengeti SETCO,

Watu wakipata maelezo toka kwenye banda la Chuo cha SETCO, chuo pekee cha Utalii wilayani Serengeti ambacho kinasadikiwa kuwa Chuo Bora katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Banda hili lilikua limesheheni vitu mbalimbali ambavyo viliwavutia watu wengi pamoja na maelezo mazuri yaliokuwa yakitolewa na walimu na wanafunzi wa chuo hicho.

Mhe. Pinda akihutubia mamia ya watu waliofurika katika uwanja wa Sokoine mjini Mugumu kwa ajili ya maadhimisho ya Mara Day.  wanaoonekana mbele yake ni waandishi wa habari toka vyombo mbalimbali vya habari toka ndani na nje ya Tanzania.

Mhe. Pinda akihutubia mamia ya watu waliofurika katika uwanja wa Sokoine mjini Mugumu kwa ajili ya maadhimisho ya Mara Day.  wanaoonekana mbele yake ni waandishi wa habari toka vyombo mbalimbali vya habari toka ndani na nje ya Tanzania.

Banda la wizara ya Maji (Bodi ya Maji katika bonde la Mto Mara) nao walikuwa washiki katika maonyesho kama Tasisi ya Serekali upande wa Tanzania.

H/M (W) Serengeti, Afisa wanyamapori mwenye maji ya chupa na maofisa wengine wa H/m hii wakiwa mbele ya banda lao.

Mkuu wa mmkoa wa Mara Mr.Tupa akiwa katika Banda la SENAPA,


Watu wakipata maelezo katika banada la kampuni ya Utalii ya Viofrank Tours ya Mugumu/Serengeti

Watu wakipata maelezo mbalimbali toka kwa watalamu kwenye Banda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti -SENAPA, lililokuwa limesheni mengi.


Mfano wa mto mara na jinsi wanyama aina ya Nyumbu na wale wanaofuatana wakivuka mto mara toka Tanzania kwenda Masai Mara game reserve ya Kenya, Model hii ilitengenezwa na H/M ya (W) ya Serengeti.

Eneo la Jukwaa kuu. jukwaa hili huwa lipo katika uwanja wa Sokoine mjini Mugumu.

Maandamano yakingia katika viwanja vya Sokoine ambapo yalipokelewa na waziri mkuu Mhe. Mizengo Pinda.

Maandamano yakingia uwanja wa Sokoine, mandamano yalishirikisha tasisi za Serekali toka Tanzania na Kenya, mashirika ya kiserikali, binafsi, Kampuni, Vikundi mbalimbali, na halikadhalika watu binafsi.

No comments:

Post a Comment