Tuesday, March 26, 2013

MAFUNZO MAALUMU YA UONGOZI NA USIMAMIZI BORA WA VYUO

Picha ya pamoja Wakuu wa Vyuo toka kanda mbalimbali za Tanzania walioshiriki mafunzo ya Uongozi, pamoja na wakufunzi toka chuo cha Walimu VETA Morogoro

Nikipokea Cheti cha kuhitimu mafunzo toka kwa Mkuu wa Chuo cha walimu VETA -Morogoro

Wakuu wa Vyuo toka kanda mbalimbali za tanzania

Eneo la chuo cha walimu wa VETA -Morogoro

Katikati ni Mkuu wa chuo cha walimu MVTTC, Ndg. ..........)kushoto kwake ni mkuu wa Taaluma na mafunzo wa MVTTC Ndg. Maro na kulia ni Mama Mweta ambae ni M/kiti wa wanasemina


No comments:

Post a Comment